Skip Navigation

National Geographic Society Este programa se distribuye en los Estados Unidos y Canadá por National Geographic y EHD. [obtenga más información]

DVD ilustrado plurilingüe

La biología del desarrollo prenatal




BIOLOJIA YA UKUAJI WA MTOTO TUMBONI

.Swahili


 

Descargar versión en formato PDF  ¿Qué es PDF?
 

Capítulo 40   3 a 4 meses (12 a 16 semanas): papilas gustativas, movimientos mandibulares, reflejo perioral, primeros movimientos

Kati ya wiki 11 na 12, Uzito wa kijusu uongezeka kwa kiwango kama 60%.

wiki ya kumi na mbili ndio mwisho wa hatua ya kwanza Ya hatua tatu za mimba.

Uwezo wa kuonja zaimarika Kinywani baada ya kutokea tumba.
Wakati wa kuziliwa tumba hizi za kuonjea zitapakia ulimini peke na kwenye paa la kinywa.

Kwenda choo yaanza mapema ya wiki 12 na kuendelea hadi wiki 6.

Ujafu hutolewayo mara ya kwanza na kijusu kabla na baada ya kuzaliwa yaitwa "mekoniam". Inajumuisha "Enzaimu" wa utumbo, proteni, na chembe-mfu Zilizotlewa na utumbo.

Kufikia wiki ya 12 Urefu ya mikono Utakuwa umekua na kufikia kiwango chake cha kawaida. Miguu huchukua muda Kufikia kiwango chake sawa sawa.

mbali na sehemu ya uti wa mgongo, Mwili wote wa kijusu kwa sasa yaweza kuhisi mguso kidigo.

Mienendo zinazoambatana na Jinsia yaanza kujitokeza kwa mara ya kwanza wakati huu. Kwa mfano, kijusu cha kike hufungua na kufunga kinywa zaidi ya kitofu cha kiume.

Kinyume na hali ya kujivuta kilicho dhihirika hapo awali midomo ikiguswa hufanya kichwa kuelekezwa palipo toka mguso na kufungua mdomo. Huu huitwa mfanyiko elekezi na huendlea baada ya kuzaliwa, na huzaidia mtoto changa kupata matiti ya mamaye wakati wa kunyonya.

Uso huzidi kukua huku mafuta ya mwili ukijaza mashavu na meno huanza kuumbika.

Kufikia wiki 15, chembe zinazo unda damu huanza kufika a kuzalishana ndani ya mafuta ya mifupa. chembe-unda damu hizi zitazalishwa kwa wengi hapa.

Ijapokuwa kujinyoosha huanza, Katika wiki ya 6, mwanamke mja mzito huanza kuhisi miondogo hizi za mtoto kati ya wiki 14 n 18. Kidesturi tokeo hili huitwa "harakisho".